Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 16:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya siku ya Sabato, Maria Magdalene, Salome na Maria mama yake Yakobo walinunua manukato ili wakaupake mwili wa Yesu.

Kusoma sura kamili Marko 16

Mtazamo Marko 16:1 katika mazingira