Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 14:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu alikuwa Bethania, nyumbani kwa Simoni Mkoma. Alipokuwa mezani kula chakula, mama mmoja aliyekuwa na chupa ya alabasta yenye marashi ya nardo safi ya thamani kubwa alikuja, akaivunja hiyo chupa, akammiminia Yesu marashi hayo kichwani.

Kusoma sura kamili Marko 14

Mtazamo Marko 14:3 katika mazingira