Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 13:35-37 Biblia Habari Njema (BHN)

35. Kesheni, basi, kwa maana hamjui mwenye nyumba atarudi lini; huenda ikawa jioni, usiku wa manane, alfajiri au asubuhi.

36. Kesheni ili akija ghafla asije akawakuta mmelala.

37. Ninayowaambieni nyinyi, nawaambia wote: Kesheni!”

Kusoma sura kamili Marko 13