Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 13:22-24 Biblia Habari Njema (BHN)

22. Maana watatokea kina Kristo wa uongo na manabii wa uongo, watafanya ishara na maajabu, kwa ajili ya kuwapotosha wateule wa Mungu kama ikiwezekana.

23. Lakini nyinyi jihadharini. Mimi nimewaambieni mambo yote kabla hayajatokea.

24. “Basi, siku hizo, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza na mwezi hautaangaza.

Kusoma sura kamili Marko 13