Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 12:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Mmojawapo wa waalimu wa sheria alifika, akasikia mabishano yao. Alipoona kwamba Yesu aliwajibu vyema, akajitokeza, akamwuliza, “Katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza?”

Kusoma sura kamili Marko 12

Mtazamo Marko 12:28 katika mazingira