Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 12:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakamwendea, wakamwambia, “Mwalimu, tunajua kwamba wewe ni mtu mwaminifu unayesema ukweli mtupu, wala humjali mtu yeyote. Wala cheo cha mtu si kitu kwako, lakini wafundisha ukweli kuhusu njia ya Mungu. Je, ni halali kulipa kodi kwa Kaisari, au la? Tulipe au tusilipe?”

Kusoma sura kamili Marko 12

Mtazamo Marko 12:14 katika mazingira