Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 11:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakafika Yerusalemu. Yesu akaingia hekaluni akaanza kuwafukuza nje watu waliokuwa wanauza na kununua vitu humo. Akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadilishana fedha, na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.

Kusoma sura kamili Marko 11

Mtazamo Marko 11:15 katika mazingira