Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 11:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu aliingia mjini Yerusalemu akaenda moja kwa moja mpaka hekaluni, akatazama kila kitu kwa makini. Lakini kwa vile ilikwisha kuwa jioni, akaenda Bethania pamoja na wale kumi na wawili.

Kusoma sura kamili Marko 11

Mtazamo Marko 11:11 katika mazingira