Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 10:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, walikuwa njiani kwenda juu Yerusalemu, na Yesu alikuwa anawatangulia. Wanafunzi wake walijawa na hofu, na watu waliofuata waliogopa. Yesu akawachukua tena kando wale kumi na wawili, akaanza kuwaambia yale yatakayompata:

Kusoma sura kamili Marko 10

Mtazamo Marko 10:32 katika mazingira