Agano la Kale

Agano Jipya

Marko 1:39-41 Biblia Habari Njema (BHN)

39. Basi, akaenda kila mahali huko Galilaya akihubiri katika masunagogi na kufukuza pepo.

40. Mtu mmoja mwenye ukoma alimwendea Yesu, akapiga magoti, akamwomba: “Ukitaka, waweza kunitakasa!”

41. Yesu akamwonea huruma, akanyosha mkono wake, akamgusa na kumwambia, “Nataka! Takasika!”

Kusoma sura kamili Marko 1