Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 7:48-50 Biblia Habari Njema (BHN)

48. Basi, Yesu akamwambia yule mwanamke, “Umesamehewa dhambi zako.”

49. Ndipo wale waliokuwa pamoja naye mezani wakaulizana, “Ni mtu wa namna gani huyu awezaye kusamehe dhambi?”

50. Naye Yesu akamwambia yule mwanamke, “Imani yako imekuokoa; nenda kwa amani.”

Kusoma sura kamili Luka 7