Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 6:18-22 Biblia Habari Njema (BHN)

18. Aliwaponya pia wote waliokuwa wanasumbuliwa na pepo wachafu.

19. Watu wote walitaka kumgusa, kwa maana nguvu ilikuwa inatoka ndani yake na kuwaponya wote.

20. Yesu akawageukia wanafunzi wake, akasema:“Heri nyinyi mlio maskini,maana ufalme wa Mungu ni wenu.

21. Heri nyinyi mnaosikia njaa sasa,maana baadaye mtashiba.Heri nyinyi mnaolia sasa,maana baadaye mtacheka kwa furaha.

22. “Heri yenu nyinyi iwapo watu watawachukia, watawatenga, watawatukana na kuwaharibieni jina kwa ajili ya Mwana wa Mtu.

Kusoma sura kamili Luka 6