Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 5:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wengine wakamwambia, “Wafuasi wa Yohane Mbatizaji hufunga mara kwa mara na kusali; hata wafuasi wa Mafarisayo hufanya vivyo hivyo. Lakini wafuasi wako hula na kunywa.”

Kusoma sura kamili Luka 5

Mtazamo Luka 5:33 katika mazingira