Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 24:6-9 Biblia Habari Njema (BHN)

6. Hayuko hapa; amefufuka. Kumbukeni aliyowaambieni alipokuwa kule Galilaya:

7. ‘Ni lazima Mwana wa Mtu atolewe kwa watu waovu, nao watamsulubisha na siku ya tatu atafufuka.’”

8. Hapo hao wanawake wakayakumbuka maneno yake,

9. wakarudi kutoka kaburini, wakawapa mitume wale kumi na mmoja na wafuasi wengine habari za mambo hayo yote.

Kusoma sura kamili Luka 24