34. wakisema, “Hakika Bwana amefufuka, amemtokea Simoni.”
35. Basi, hao wafuasi wawili wakawajulisha yale yaliyowapata njiani, na jinsi walivyomtambua katika kumega mkate.
36. Walipokuwa wakiwaambia hayo, Yesu mwenyewe akasimama kati yao, akawaambia “Amani iwe nanyi.”
37. Wakashtuka na kushikwa na hofu wakidhani wameona mzimu.