Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 23:53 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akaushusha mwili huo kutoka msalabani, akauzungushia sanda ya kitani, akauweka katika kaburi lililokuwa limechongwa kwenye mwamba, ambalo halikuwa limetumika.

Kusoma sura kamili Luka 23

Mtazamo Luka 23:53 katika mazingira