Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 22:19-21 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Halafu akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa akisema, “Huu ni mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka.”

20. Akafanya vivyo hivyo na kikombe cha divai baada ya chakula, akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya linalothibitishwa kwa damu yangu inayomwagika kwa ajili yenu.

21. “Lakini, tazameni! Yule atakayenisaliti yuko nami hapa mezani.

Kusoma sura kamili Luka 22