Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 20:43-47 Biblia Habari Njema (BHN)

43. mpaka niwaweke maadui zako kuwa kiti cha kuwekea miguu yako.’

44. Ikiwa Daudi anamwita yeye, ‘Bwana,’ basi, atakuwaje mwanawe?”

45. Yesu aliwaambia wanafunzi wake mbele ya watu wote,

46. “Jihadharini na waalimu wa sheria ambao hupenda kupitapita wamevalia kanzu. Hupenda kusalimiwa na watu kwa heshima masokoni, huketi mahali pa heshima katika masunagogi na kuchukua nafasi za heshima katika karamu.

47. Huwadhulumu wajane huku wakisingizia kuwa wema kwa kusali sala ndefu. Hao watapata hukumu kali zaidi!”

Kusoma sura kamili Luka 20