Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: “Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha.”

Kusoma sura kamili Luka 2

Mtazamo Luka 2:15 katika mazingira