Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 17:7 Biblia Habari Njema (BHN)

“Tuseme mmoja wenu ana mtumishi ambaye analima shambani au anachunga kondoo. Je, anaporudi kutoka shambani, atamwambia huyo mtumishi: ‘Haraka, njoo ule chakula?’

Kusoma sura kamili Luka 17

Mtazamo Luka 17:7 katika mazingira