Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 17:32-35 Biblia Habari Njema (BHN)

32. Kumbukeni yaliyompata mke wa Loti.

33. Yeyote anayetaka kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na yeyote anayeipoteza, ataiokoa.

34. Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa wanalala pamoja, mmoja atachukuliwa na yule mwingine ataachwa.

35. Wanawake wawili watakuwa wakisaga nafaka pamoja; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.” [

Kusoma sura kamili Luka 17