Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 16:30-31 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Lakini yeye akasema: ‘Sivyo babu Abrahamu, ila kama mtu atafufuka kutoka kwa wafu na kuwaendea, watatubu.’

31. Naye Abrahamu akasema: ‘Kama hawawasikilizi Mose na manabii, hawatajali hata kama mtu angefufuka kutoka kwa wafu.’”

Kusoma sura kamili Luka 16