Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 13:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huohuo, Mafarisayo na watu wengine walimwendea Yesu wakamwambia, “Ondoka hapa uende mahali pengine, kwa maana Herode anataka kukuua.”

Kusoma sura kamili Luka 13

Mtazamo Luka 13:31 katika mazingira