Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 13:17-19 Biblia Habari Njema (BHN)

17. Alipokwisha sema hayo, wapinzani wake waliona aibu lakini watu wengine wote wakajaa furaha kwa sababu ya mambo yote aliyotenda.

18. Yesu akauliza: “Ufalme wa Mungu unafanana na nini? Nitaulinganisha na nini?

19. Ni kama mbegu ya haradali aliyotwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake; ikaota na kuwa mti. Ndege wa angani wakajenga viota vyao katika matawi yake.”

Kusoma sura kamili Luka 13