Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 11:52 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ole wenu nyinyi waalimu wa sheria, kwa sababu mmeuficha ule ufunguo wa mlango wa elimu; nyinyi wenyewe hamkuingia na mmewazuia waliokuwa wanaingia wasiingie.”

Kusoma sura kamili Luka 11

Mtazamo Luka 11:52 katika mazingira