Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 11:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini yeye, akiwa anayajua mawazo yao, akawaambia, “Ufalme wowote uliogawanyika vikundi vinavyopingana hauwezi kudumu; kadhalika, jamaa yoyote iliyo na mafarakano huangamia.

Kusoma sura kamili Luka 11

Mtazamo Luka 11:17 katika mazingira