Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 10:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Yesu akamjibu, “Mtu mmoja alikuwa anashuka kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Alipokuwa njiani, alivamiwa na majambazi, wakamnyanganya mali yake na kumpiga, wakamwacha amelala pale nusu mfu.

Kusoma sura kamili Luka 10

Mtazamo Luka 10:30 katika mazingira