Agano la Kale

Agano Jipya

Luka 1:78-80 Biblia Habari Njema (BHN)

78. Mungu wetu ni mpole na mwenye huruma.Atatuchomozea mwanga kutoka juu,

79. na kuwaangazia wote wanaokaa katika giza kuu la kifo,aongoze hatua zetu katika njia ya amani.”

80. Mtoto akakua, akapata nguvu rohoni. Alikaa jangwani mpaka alipojionesha rasmi kwa watu wa Israeli.

Kusoma sura kamili Luka 1