Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wathesalonike 2:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa namna yoyote ile. Maana siku hiyo haitakuja mpaka kwanza ule uasi utokee na yule Mwovu aonekane, ambaye mwisho wake ni kuangamizwa kabisa.

Kusoma sura kamili 2 Wathesalonike 2

Mtazamo 2 Wathesalonike 2:3 katika mazingira