Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wakorintho 9:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila mmoja, basi, na atoe kadiri alivyoamua, kwa moyo na wala si kwa huzuni au kwa kulazimishwa, maana Mungu humpenda yule mwenye kutoa kwa furaha.

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 9

Mtazamo 2 Wakorintho 9:7 katika mazingira