Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wakorintho 7:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Basi, wapenzi wangu, tukiwa tumepewa ahadi hizi zote, na tujitakase na chochote kiwezacho kuchafua miili na roho zetu, tuwe watakatifu kabisa na kuishi kwa kumcha Mungu.

2. Tunaomba mtupe nafasi mioyoni mwenu! Hatujamkosea mtu yeyote, hatujamdhuru wala kumdanganya mtu yeyote.

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 7