Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wakorintho 11:29-31 Biblia Habari Njema (BHN)

29. Kama mtu yeyote ni dhaifu, nami pia ni dhaifu; mtu yeyote akikwazwa, nami pia huwa na wasiwasi.

30. Ikinilazimu kujivuna, basi, nitajivunia udhaifu wangu.

31. Mungu na Baba wa Bwana Yesu – jina lake litukuzwe milele – yeye anajua kwamba sisemi uongo.

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 11