Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wakorintho 1:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Sisi tunajivunia kitu kimoja: Dhamiri yetu inatuhakikishia kwamba tumeishi ulimwenguni hapa, na hasa kati yenu, kwa unyenyekevu na unyofu tuliojaliwa na Mungu; hatukuongozwa na hekima ya kibinadamu bali na neema ya Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Wakorintho 1

Mtazamo 2 Wakorintho 1:12 katika mazingira