Agano la Kale

Agano Jipya

2 Petro 2:13 Biblia Habari Njema (BHN)

na watalipwa mateso kwa mateso ambayo wameyasababisha. Furaha yao ni kufanya, tena mchana kabisa, chochote kinachotosheleza anasa zao za mwili. Hao ni fedheha na aibu tupu kwa jumuiya yenu wakati wanapojiunga nanyi katika karamu zenu, hali wakifurahia njia zao za udanganyifu.

Kusoma sura kamili 2 Petro 2

Mtazamo 2 Petro 2:13 katika mazingira