Agano la Kale

Agano Jipya

2 Petro 2:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Palitokea manabii wa uongo kati ya watu, na vivyo hivyo waalimu wa uongo watatokea kati yenu. Watu hao wataingiza mafundisho maharibifu na kumkana Bwana aliyewakomboa, na kwa njia hiyo watasababisha ghafla maangamizi yao wenyewe.

Kusoma sura kamili 2 Petro 2

Mtazamo 2 Petro 2:1 katika mazingira