Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wathesalonike 1:5 Biblia Habari Njema (BHN)

maana wakati tulipowahubirieni ile Habari Njema haikuwa kwa maneno tu, bali pia kwa nguvu na kwa Roho Mtakatifu, tukiwa na hakika kwamba ujumbe huo ulikuwa wa kweli. Mnajua jinsi tulivyoishi pamoja nanyi; tuliishi kwa manufaa yenu.

Kusoma sura kamili 1 Wathesalonike 1

Mtazamo 1 Wathesalonike 1:5 katika mazingira