Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 4:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Mtu na atuone sisi kuwa ni watumishi wa Kristo tuliokabidhiwa siri za Mungu.

2. Kinachotakiwa kwa yeyote yule aliyekabidhiwa kazi ni kuwa mwaminifu.

3. Kwangu mimi si kitu nikihukumiwa na nyinyi, au na mahakama ya kibinadamu; wala sijihukumu mimi mwenyewe.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 4