Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 3:19-23 Biblia Habari Njema (BHN)

19. Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu mbele ya Mungu. Kwani Maandiko Matakatifu yasema: “Mungu huwanasa wenye hekima katika ujanja wao.”

20. Na tena: “Bwana ajua kwamba mawazo ya wenye hekima hayafai.”

21. Basi, mtu asijivunie watu. Maana kila kitu ni chenu.

22. Paulo, Apolo na Kefa, ulimwengu, maisha na kifo; mambo ya sasa na ya baadaye, yote ni yenu.

23. Lakini nyinyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 3