4. kwamba alizikwa, akafufuka siku ya tatu kufuatana na Maandiko Matakatifu;
5. kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili.
6. Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya 500 kwa mara moja; wengi wao wanaishi bado, lakini baadhi yao wamekwisha kufa.