Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 15:4-6 Biblia Habari Njema (BHN)

4. kwamba alizikwa, akafufuka siku ya tatu kufuatana na Maandiko Matakatifu;

5. kwamba alimtokea Kefa, na baadaye aliwatokea wale kumi na wawili.

6. Kisha aliwatokea ndugu zaidi ya 500 kwa mara moja; wengi wao wanaishi bado, lakini baadhi yao wamekwisha kufa.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 15