Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 15:23-26 Biblia Habari Njema (BHN)

23. Lakini kila mmoja kwa mpango wake: Kristo kwanza; halafu wale walio wake Kristo wakati Kristo atakapokuja.

24. Baada ya hayo, mwisho utafika wakati ambapo Kristo atamkabidhi Mungu Baba ufalme, baada ya kufutilia mbali kila tawala na mamlaka na nguvu.

25. Maana Kristo sharti atawale mpaka Mungu atakapowashinda maadui zake wote na kuwaweka chini ya miguu yake.

26. Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 15