Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 13:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Hata kama nikinena lugha za watu na hata za malaika, lakini kama sina upendo mimi nimekuwa tu kama sauti ya debe tupu au kengele.

2. Tena, naweza kuwa na kipaji cha kutangaza ujumbe wa Mungu, nikafahamu siri zote na kujua kila kitu; naweza kuwa na imani yote hata nikaweza kuihamisha milima, lakini kama sina upendo mimi si kitu.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 13