Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 12:14-16 Biblia Habari Njema (BHN)

14. Mwili hauna kiungo kimoja tu, bali una viungo vingi.

15. Kama mguu ungejisemea: “Kwa kuwa mimi si mkono, basi mimi si mali ya mwili,” je, ungekoma kuwa sehemu ya mwili? La hasha!

16. Kama sikio lingejisemea: “Kwa vile mimi si jicho, basi mimi si mali ya mwili,” je, kwa hoja hiyo lingekoma kuwa sehemu ya mwili? La!

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 12