Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wakorintho 1:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu mwenyewe ndiye aliyewaunganisha nyinyi na Kristo Yesu. Mungu amemfanya Kristo awe hekima yetu; kwa njia yake sisi tunapatanishwa na Mungu, tunakuwa watu wake Mungu na kukombolewa.

Kusoma sura kamili 1 Wakorintho 1

Mtazamo 1 Wakorintho 1:30 katika mazingira