10. Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu:“Anayetaka kufurahia maisha,na kuona siku za fanaka,ajizuie asiseme mabayaaepe kusema uongo.
11. Ajiepushe na uovu, atende mema,atafute amani na kuizingatia.
12. Maana Bwana huwatazama kwa wema waadilifuna kuzisikiliza sala zao.Lakini huwapa kisogo watu watendao maovu.”
13. Ni nani atakayeweza kuwadhuru nyinyi kama mkizingatia kutenda mema?