41. Gederothi, Beth-dagoni, Naama na Makeda. Jumla ya miji waliyopewa ni kumi na sita pamoja na vijiji vyake.
42. Tena walipewa miji ya Libna, Etheri, Ashani,
43. Yifta, Ashna, Nezibu,
44. Keila, Akzibu na Maresha. Jumla ya miji waliyopewa ni tisa pamoja na vijiji vyake.