20. mfalme wa Shimron-meroni, mfalme wa Akshafi,
21. mfalme wa Taanaki, mfalme wa Megido,
22. mfalme wa Kedeshi, mfalme wa Yokneamu mji ulioko kwenye mlima Karmeli,
23. mfalme wa Dori katika mkoa wa Nafath-dori, mfalme wa Goiimu huko Gilgali na
24. mfalme wa Tirza. Jumla ya wafalme hao ni thelathini na mmoja.