5. Mwili wangu umejaa mabuu na uchafu;ngozi yangu imekauka na kutokwa na usaha wa jipu.
6. Siku zangu zapita kasi kuliko gurudumu la mshonaji,nazo zafikia mwisho wake bila matumaini.
7. “Kumbuka, maisha yangu ni pumzi tu;jicho langu halitaona jema lolote tena.
8. Anayeniona sasa, hataniona tena,punde tu ukinitazama nitakuwa nimetoweka.
9. Kama wingu lififiavyo na kutowekandivyo nao watu washukavyo kuzimu bila kurudi.