7. Sina hamu ya kuvigusa vyakula hivyo,hivyo ni vyakula vyangu vichukizavyo.”
8. “Laiti ningejaliwa ombi langu,Mungu akanipatia kile ninachotamani:
9. Kwamba angekuwa radhi kunipondaponda,angenyosha mkono wake anikatilie mbali!
10. Hiyo ingekuwa faraja yangu,ningefurahi katika maumivu yasiyo na huruma.
11. Lakini sina nguvu ya kuweza kuendelea;sijui mwisho wangu utakuwaje, nipate kuvumilia.