27. Nyinyi mnathubutu hata kuwapigia yatima kura;mnawapigia bei hata marafiki zenu!
28. Lakini sasa niangalieni tafadhali.Mimi sitasema uongo mbele yenu.
29. Acheni tafadhali, kusiwe na uovu;acheni sasa, kwani mimi ni mnyofu.
30. Je, mnadhani kwamba nimesema uovu?Je, mnafikiri mimi siyatambui machungu?