10. Huwafungua masikio wasikie mafunzo,na kuwaamuru warudi na kuacha uovu.
11. Wakimtii Mungu na kumtumikia,hufanikiwa katika siku zao zote;miaka yao yote huwa ya furaha.
12. Lakini wasipomtii, huangamia kwa upanga,na kufa kwa kukosa akili.
13. “Wasiomcha Mungu hupenda kukasirika,hawamlilii msaada anapowabana.